Showing posts with label lifestyles. Show all posts
Showing posts with label lifestyles. Show all posts

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi...



UNATAKA KUFANIKIWA? HAKUNA NJIA YA MKATO KATIKA MAFANIKIO

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4

KWANINI HUKUITWA BAADA YA USAILI? YAJUE MAKOSA YANAYOFANYWA KWENYE USAILI

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4

NJIA ZA KUPUNGUZA UNENE WA MWILI WAKO

Wastani wa maisha ya mtanzania (na waafrika wengi) ni miaka 40-50. Kati ya sababu kuu zinazopunguza uhai ni kuwa na afya mbovu, m akala ya leo in ahusu tatizo la unene wa mwili. Tatizo hili la u nene na uzito uliozidi s ababu yake kuu ni kutokujua namna...



MBINU ZA KUSOMA NA KUFAULU MITIHANI DARASANI.

Kusoma kwa bidii ni moja ya sababu kubwa inayomfanya mwanafunzi kufanya vizuri shuleni, licha ya kuongeza bidii kwenye masomo yako kuna mambo mengine ambayo tumezoea kuyaweka pembeni lakini nayo pia wewe kama mwanafunzi ukiyazingatia mambo hayo yatakusaidia kusoma vizuri zaidi na kuongeza ufaulu wako darasani au kwa sisi...



Jitibu kuzuia tatizo la kuwahi kufika kileleni Ukiwa Nyumbani.

*Mbegu za vitunguu vya kijani (Green onion seed) zina uwezo mkubwa wa kutibu hali ya kuwahi kufika kileleni mapema, jinsi yakutumia chukua Glasi ya maji na uweke kijiko kimoja cha mbegu hizi kisha koroga na unywe kila siku Glasi moja kabla ya kula kila mlo.*Maziwa ya Almond ni...



KAROTI KINGA DHIDI YA SARATANI NA UGONJWA WA MOYO

Aina Mbili Ya Vyakula Hutakiwi Kuvila Baada Ya Mazoezi

KAMA wewe ni miongoni mwa watu wenye utaratibu wa kufanya mazoezi ya mwili kila siku au mara kwa mara unahitaji kusoma makala haya kwa makini, kwani yanahusu suala muhimu ambalo pengine hukuwahi kulijua kabla. Inaeleweka na kukubalika na tafiti zote kuwa mazoezi ya mwili ni miongoni mwa vitu...