Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi.
Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi.
Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali.

Mtandao huo ambao tayari unatumika kwenye ofisi za Facebook, utakuwa mpinzani kwa huduma zingine kama Google Drive, Microsoft Office na LinkedIn.

0 comments:

Post a Comment

Recent Posts