DAKTARI FEKI AKAMATWA HOSPITALI YA KCMC, MOSHI

HALI ya wasiwasi imetanda kwa baadhi ya wagonjwa wanaopatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC ya mjini Moshi baada ya uongozi wa hospitali hiyo kumkamata mtu mmoja anayedaiwa kujifanya ni daktari wa watoto akiwa kwenye wodi ya upasuaji. Afisa uhusiano wa hosptali ya Rufaa ya KCMC,Gabriel Chisseo akimwonesha...
SERIKALI YA TANZANIA YAJIBU CHOKOCHOKO NA KASHFA ZILIZOTOLEWA NA MTANDAO WA KENYA.

Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari- (MAELEZO) Assah Mwambene akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu mtandao wa kijamii wa nchini Kenya ulioituhumu Serikali ya Tanzania. -------------- SERIKALI ya Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusu tuhuma mbalimbali dhidi yake zilizotolewa na mtandao wa...
Ni mkakati wa kuiengua Tanzania kutoka EAC?

Wiki iliyopita ulifanyika mkutano Mjini Mombasa na kuhudhuriwa na marais, Uhuru Kenyatta wa Kenya, Yoweri Museveni wa Uganda, Paul Kagame wa Rwanda, Pierre Nkurunzinza wa Burundi na Salva Kiir wa Sudan Kusini, lakini Rais Kikwete hakuhusishwa. Tangu Rais Jakaya Kikwete alipotoa ushauri kwa nchi ya Rwanda kukaa na...
Mnara wa Kumbukumbu ya Kifo Cha Daudi Mwangosi Sehemu Ambayo Alilipukiwa na Bomu: Chadema Watoa Tamko
Waandishi wa habari Oliver Motto aliyesimama kulia ambaye ni mwandishi na mpiga picha wa Star Tv, Radio Free Africa na mmiliki wa mtandao huu, akiwa na wanahabari wenzie, aliyevaa miwani ni Reymond Fransis (Ebony Fm Radio) aliyechuchumaa ni Laurian Mkumbata ITV na Radio One wakiwa katika picha ya...
Pacha aliyeungana sasa atolewa ICU

Mtoto Kudra aliyekuwa ameunganika na kiwiliwili cha pacha mwenza, anaendelea vizuri na matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Mtoto huyo alifanyiwa upasuaji Alhamisi iliyopita katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (Moi) na kulazwa katika wodi ya wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU), lakini mwishoni mwa wiki iliyopita...
WAFAHAMU MATAJILI 10 WANAOITIKISA ARDHI YA TANZANIA KWA PESA

KATI ya miaka ya 1960 hadi 1980, mtu kuwa tajiri alionekana ni hatari kwa taifa, tena mali zake alizimiliki kwa kificho, vinginevyo angeitwa mhujumu uchumi. Lakini kwa sasa mambo yamebadilika, taratibu sera za kibepari zinatawala, ujamaa unapewa kisogo. Mtu kama ni mbunifu, ana nidhamu ya kutofuja pesa na...
MWANAMKE ANASWA NA RUNDO LA SARE ZA JESHI JWTZ

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Saida Mohamed (30), mkazi wa Mwasonga Kigamboni, akiwa na sare za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ). Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleimani Kova, alisema mtuhumiwa huyo...
RWANDA NA UGANDA WAJITOA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septemba Mosi, mwaka huu. Katibu Mtendaji wa Tatoa, Zacharia Hanspope aliwaambia waandishi wa habari jana baada ya kukutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuwa nchi hizo...
Wasichana 2 waliomwagiwa Tindikali Zanzibar wawasili kwao Uingereza

Katie na Kirstie Mama mwenye hasira wa mmoja wa wasichana wa Uingereza waliomwagiwa acid mjini Zanzibar ameungana na bintiye nchini humo baada ya leo kuwasili kwa ndege kwenye hospitali kwaajili ya matibabu. Mama huyo, Nicky Gee alionekana kushindwa kujizuia kulia baada ya kumuona binti yake Katie na rafiki...
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
New AUDIO | Geez Mabovu - Story | Download Sikiliza & Download Nyimbo ya Marehemu GEEZ MABOVU akiwa amemshirikisha GALATONE
-
Dowload na Sikiliza ngoma mpya ya Mr Blue- Pesa