East Coast Team kuingia kambini kuandaa ngoma mpya, maproducer wanne kuhusika!

East Coast Team inarejea tena. King Crazy GK, AY, Mwana FA, Snare na Buff G, wanatarajia kuingia kambini hivi karibuni kuandaa nyimbo mpya. Maproducer wanne watashiriki kwenye mradi huo.Wasanii wa East Coast AY, GK, Snare pamoja na Buff GGK ameimbia Bongo5 kuwa wapo kwenye maandalizi ya mwisho kuingia...
Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport

Chidi Benz amekamatwa na dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa anaelekea jijini Mbeya kwenye show ya Instagram Party inayotarajiwa kufanyika kesho. Akizungumza Bongo5 leo msanii Shetta ambaye alikuwa naye pamoja katika safari hiyo ya kuelekea Mbaya, amethibitisha...
Hii ndio historia ya mziki ya mareheme YP kutoka TMK Wanaume Family

YP, CHEGE NA TEMBA Wiki hii hapa tasnia ya bongofleva ilimpoteza msanii maarufu YP pichani ambaye anaunda kundi la TMK Wanaume Family.Msanii huyo ambaye jina lake halisi ni Yessaya Ambikile alifariki usiku wakuamkia Jumanne katika hospitali ya Temeke. Said Fella ambaye ni meneja wa kundi hilo amesema kuwa...
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
New AUDIO | Geez Mabovu - Story | Download Sikiliza & Download Nyimbo ya Marehemu GEEZ MABOVU akiwa amemshirikisha GALATONE