Home
» Enterteinment
» Wimbo wa msanii mwenye asili ya Tz, Dezert Eagle aliomshirikisha Diamond waingia kwenye Tuzo za Australia
Wimbo wa msanii mwenye asili ya Tz, Dezert Eagle aliomshirikisha Diamond waingia kwenye Tuzo za Australia
Msanii mwenye asili ya Tanzania na Congo Dezert Eagle aishiye nchini Australia ameingia kwenye Tuzo za ‘Afro Austrian Music & Movie Awards’ (AAMMA) za Australia, kwenye kipengele cha ‘Best Collaboration’ kupitia wimbo aliomshirikisha staa wa bongo Diamond Platnumz “everyday”.
TAZAMA WIMBO HUO HAPA CHINI
You may also Like
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
Je utawezaje kutambua fursa na kuweza kuanzisha biashara katika mazingira yako? Bila shaka hili swali watu wengi wanaotamani kumiliki bias...
-
He Yide (5) ambaye amepewa jina la utani la Duoduo mkazi wa Nanjing China ameweka rekodi ya kuwa rubani mdogo zaidi duniani na sijui kama ...
0 comments: