(VIDEO) REKORD MPYA YAWEKWA NA RUBANI HUYU MTOTO KUTOKA CHINA
![]() |
He Yide (5) ambaye amepewa jina la utani la Duoduo mkazi wa Nanjing China ameweka rekodi ya kuwa rubani mdogo zaidi duniani na sijui kama atatatokea mwingine wa kuvunja rekodi hii |
![]() |
Duoduo ana miaka mitano na nusu. |
![]() |
He Yide akiwa na Mwalimu wake wakati wa kurusha ndege hiyo |
![]() |
Mtoto huyu aliweza kurusha ndege hiyo akiwa na mwalimu wake kwa muda wa dakika 35 katika park ya beijing wildlife |
![]() |
Hi Yide akiwa na Baba mama yake na ndugu Hebu tazama hapa video hii |
0 comments: