Diamond kuiachia ‘Ntampata Wapi’ kesho
Diamond Platnumz anatarajia kuachia wimbo wake mpya ‘Ntampata Wapi’ kesho. Wimbo huo ambao huenda ukawa ndio ule aliouonjesha hivi karibuni, utakuwa ni mpya tangu Bum Bum na Mdogo.
Swali ni je! Ataweza kuvunja rekodi ya Mwana FA na Alikiba ya wimbo uliosikilizwa na kupakuliwa zaidi kwenye mtandao wa Mkito?
You may also Like
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
A married woman has bitten more than she can chew and her marriage is now on the brinks after a member of her husband's family caught ...


0 comments: