Diamond kuiachia ‘Ntampata Wapi’ kesho
Diamond Platnumz anatarajia kuachia wimbo wake mpya ‘Ntampata Wapi’ kesho. Wimbo huo ambao huenda ukawa ndio ule aliouonjesha hivi karibuni, utakuwa ni mpya tangu Bum Bum na Mdogo.
Swali ni je! Ataweza kuvunja rekodi ya Mwana FA na Alikiba ya wimbo uliosikilizwa na kupakuliwa zaidi kwenye mtandao wa Mkito?
You may also Like
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
He Yide (5) ambaye amepewa jina la utani la Duoduo mkazi wa Nanjing China ameweka rekodi ya kuwa rubani mdogo zaidi duniani na sijui kama ...
-
Je utawezaje kutambua fursa na kuweza kuanzisha biashara katika mazingira yako? Bila shaka hili swali watu wengi wanaotamani kumiliki bias...
0 comments: