JAY SEAN AMETANGAZA KUJIONDOA KWENYE LABEL YA CASH MONEY RECORDS.
Hata hivyo, Sean amesema hana tatizo na timu ya Cash Money.
“Bado nina uhusiano mzuri na Slim na Baby [CEOs wa Cash Money],” ameuambia
mtandao wa Billboard.
“Waliamini katika kipaji changu na ushirikiano wetu ulileta
mafanikio makubwa,” alisema.
Hata hivyo msanii huyo alidai kuwa alitaka kupata kitu
kingine.
You may also Like
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
A married woman has bitten more than she can chew and her marriage is now on the brinks after a member of her husband's family caught ...


0 comments: