H-BABA ALAZWA MUHIMBILI KWA MARADHI YA DENGUE

 Mwanamuziki / Muigizaji wa Filamu H-Baba amelazwa kwenye Hospitali ya Muhimbili baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa wa Dengue.
Awali H-Baba hali yake ilikuwa mbaya siku ya Jumatano alipokuwa anajiandaa kwenda kuaga mwili wa Marehemu George Tyson. Alianguka na kushindwa kuhudhuria.
Kwa sasa hali yake inaendelea vizuri.

0 comments:

Post a Comment

Recent Posts