Home
» Makala na Matukio
» WASICHANA WANAVYOCHOMWA MATITI YAO KWA MOTO ILI KUYAPUNGUZA YASIWE MAKUBWA..
WASICHANA WANAVYOCHOMWA MATITI YAO KWA MOTO ILI KUYAPUNGUZA YASIWE MAKUBWA..
Aina fulani ya unyanyasaji iliyojificha ambayo inajulikana kama ‘breast ironing,’ ambapo wasichana wadogo kama miaka 10 wanayachoma maziwa yao na vitu vya moto ili kujifanya wamekua inaweza kuwa inafanyika UK.
Unyanyasaji huu wakimila za kikameruni uliwekwa ili kuondoa matamanio ya kimapenzi ya wanaume,mimba zisizohitajika na ubakaji kwa kuzuia dalili za kuwa mtoto wa kike anapevuka/anakuwa mtu mzima,gazeti la independent liliripoti.
Kwa wajuzi wanasema kuwa maelf ya wakameruni wanaoishi UK wanafuata mila hii. Kuchoma matiti (Breast ironing)inatambulika na UN kama moja ya makosa ya jinai dhidi ya wanawake na kwa makadirio wasichana wadogo milioni 3.8 wameathiriwa na mila hii. ukiachia mbali kuwa inamaumivu makali,pia mila hii inahatarisha afya ya wasichan hao na kusababisha magonjwa na titi moja au matiti yote
Unyanyasaji huu wakimila za kikameruni uliwekwa ili kuondoa matamanio ya kimapenzi ya wanaume,mimba zisizohitajika na ubakaji kwa kuzuia dalili za kuwa mtoto wa kike anapevuka/anakuwa mtu mzima,gazeti la independent liliripoti.
Kwa wajuzi wanasema kuwa maelf ya wakameruni wanaoishi UK wanafuata mila hii. Kuchoma matiti (Breast ironing)inatambulika na UN kama moja ya makosa ya jinai dhidi ya wanawake na kwa makadirio wasichana wadogo milioni 3.8 wameathiriwa na mila hii. ukiachia mbali kuwa inamaumivu makali,pia mila hii inahatarisha afya ya wasichan hao na kusababisha magonjwa na titi moja au matiti yote
You may also Like

KUHUSIANA NA MIRATHI YA MAREHEMU KANUMBA, BABA YAKE AMEDAI P...

LIST OF 10 MOST DANGEROUS COUNTRIES IN 2013...

WANAWAKE NCHINI SAUDI ARABIA WAMEPANGA KUANDAMANA ILI WAPATE...
Mechi ya Wahariri na Klabu ya Waandishi Iringa sasa rasmi...

(VIDEO) REKORD MPYA YAWEKWA NA RUBANI HUYU MTOTO KUTOKA CHIN...

PICHA: WAPENZI WAKAMATWA NA POLISI BAADA YA KUFUNGA NDOA WAK...
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
Dowload na Sikiliza ngoma mpya ya Mr Blue- Pesa
-
Vijana wa Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) wamefani...
0 comments: