(VIDEO) REKORD MPYA YAWEKWA NA RUBANI HUYU MTOTO KUTOKA CHINA
![]() |
He Yide (5) ambaye amepewa jina la utani la Duoduo mkazi wa Nanjing China ameweka rekodi ya kuwa rubani mdogo zaidi duniani na sijui kama atatatokea mwingine wa kuvunja rekodi hii |
![]() |
Duoduo ana miaka mitano na nusu. |
![]() |
He Yide akiwa na Mwalimu wake wakati wa kurusha ndege hiyo |
![]() |
Mtoto huyu aliweza kurusha ndege hiyo akiwa na mwalimu wake kwa muda wa dakika 35 katika park ya beijing wildlife |
![]() |
Hi Yide akiwa na Baba mama yake na ndugu Hebu tazama hapa video hii |
You may also Like

PICHA: WAPENZI WAKAMATWA NA POLISI BAADA YA KUFUNGA NDOA WAK...

PICHA: P. DIDDY AKIWA AMEPOZI NA WATOTO WAKE SITA...

JINSI YA KUTAMBUA FURSA NA KUWEZA KUANZISHA BIASHARA YAKO BI...

KUHUSIANA NA MIRATHI YA MAREHEMU KANUMBA, BABA YAKE AMEDAI P...

LIST OF 10 MOST DANGEROUS COUNTRIES IN 2013...

WANAWAKE NCHINI SAUDI ARABIA WAMEPANGA KUANDAMANA ILI WAPATE...
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
Vijana wa Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) wamefani...
0 comments: