Diamond kuiachia ‘Ntampata Wapi’ kesho
Diamond Platnumz anatarajia kuachia wimbo wake mpya ‘Ntampata Wapi’ kesho. Wimbo huo ambao huenda ukawa ndio ule aliouonjesha hivi karibuni, utakuwa ni mpya tangu Bum Bum na Mdogo.
Swali ni je! Ataweza kuvunja rekodi ya Mwana FA na Alikiba ya wimbo uliosikilizwa na kupakuliwa zaidi kwenye mtandao wa Mkito?
You may also Like

Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii ...

CHIDI BENZ ASIMULIA STORY NZIMA JINSI ILIVYOKUWA HADI KUKAMA...

JAY SEAN AMETANGAZA KUJIONDOA KWENYE LABEL YA CASH MONEY REC...

P-Square waondokewa na baba yao mzazi Mr. Okoye...

Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandao...

Sitti Mtemvu bado kiti cha moto, mamlaka zajipanga kumpeleka...
0 comments: