JAY SEAN AMETANGAZA KUJIONDOA KWENYE LABEL YA CASH MONEY RECORDS.
Hata hivyo, Sean amesema hana tatizo na timu ya Cash Money.
“Bado nina uhusiano mzuri na Slim na Baby [CEOs wa Cash Money],” ameuambia
mtandao wa Billboard.
“Waliamini katika kipaji changu na ushirikiano wetu ulileta
mafanikio makubwa,” alisema.
Hata hivyo msanii huyo alidai kuwa alitaka kupata kitu
kingine.
You may also Like

P-Square waondokewa na baba yao mzazi Mr. Okoye...

Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandao...

Diamond kuiachia ‘Ntampata Wapi’ kesho...

Sitti Mtemvu bado kiti cha moto, mamlaka zajipanga kumpeleka...

Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii ...

CHIDI BENZ ASIMULIA STORY NZIMA JINSI ILIVYOKUWA HADI KUKAMA...
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
Vijana wa Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) wamefani...
0 comments: