IPHONE 6 NA 6 PLUS MILIONI 10 ZIMESHANUNULIWA HADI SASA!
Kampuni ya Apple imedai kuwa hadi sasa imeshauza simu zake
mpya za iPhone 6 na iPhone 6 Plus milioni 10 ikiwa ni siku tatu tu tangu
ziingie sokoni.
Hadi sasa iPhone hizo mpya zipo Marekani, Australia, Canada,
Ufaransa, Ujerumani, Hong Kong, Japan, Puerto Rico, Singapore na Uingereza.
September 26 zitafika kwenye nchi zingine 20 na zingine zilizosalia mwishoni
mwa mwaka huu.
CEO wa kampuni hiyo, Tim Cook Jumatatu hii alidai kuwa
mahitaji ya simu hizo yamezidi matarajio yao.
You may also Like

East Coast Team kuingia kambini kuandaa ngoma mpya, maproduc...

NAIBU WAZIRI WA AFYA WA ZAMANI LUCY NKYA ADAIWA KURUSHIANA R...

Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport...

Hii ndio historia ya mziki ya mareheme YP kutoka TMK Wanaume...

Maharusi waoana ndani ya bwawa la maji...

Rapper Navio ambaye yupo Bongo asema anatamani kufanya colla...
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
New AUDIO | Geez Mabovu - Story | Download Sikiliza & Download Nyimbo ya Marehemu GEEZ MABOVU akiwa amemshirikisha GALATONE
0 comments: