Home
» Enterteinment
» DIAMOND PLATNUMZ KUTUMBUIZA TEXAS, MAREKANI MWEZI UJAO (MAY) DIAMOND PLATNUMZ KUTUMBUIZA TEXAS, MAREKANI MWEZI UJAO (MAY)
DIAMOND PLATNUMZ KUTUMBUIZA TEXAS, MAREKANI MWEZI UJAO (MAY) DIAMOND PLATNUMZ KUTUMBUIZA TEXAS, MAREKANI MWEZI UJAO (MAY)
Akiwa bado yupo Nigeria kwa sasa hit maker wa ‘Number 1’,
Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz anasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa nchini
Marekani, ambako anatarajiwa kutumbuiza mwezi ujao katika jimbo la Texas.
Diamond anatarajiwa kutua Marekani na crew yake ya WCB
kwaajili ya shughuli moja tu ya kuwachezesha ngololo, show itakayofanyika
katika jiji la Houston, Texas (May 25) katika ukumbi wa AYVA Center.
Show hiyo imeandaliwa kwa ushirikiano wa DMK Global, J &
P Entertainment na Safari Entertainment, kama inayoonekana katika tangazo la
show.
July 26 mwaka huu Platnumz anatarajia kurudi tena Marekani
kuungana na wasanii wakubwa kama T-Pain, 2 Face, Davido, Fally Ipupa, Flavour,
Wyre na wengine katika AFRIMMA Awards 2014.
You may also Like

Sitti Mtemvu bado kiti cha moto, mamlaka zajipanga kumpeleka...

Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii ...

CHIDI BENZ ASIMULIA STORY NZIMA JINSI ILIVYOKUWA HADI KUKAMA...

JAY SEAN AMETANGAZA KUJIONDOA KWENYE LABEL YA CASH MONEY REC...

P-Square waondokewa na baba yao mzazi Mr. Okoye...

Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandao...
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
Vijana wa Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) wamefani...
0 comments: