SIR ALEX FERGUSON AVUNJA YA MAUZO YA KITABU CHAKE
Kitabu cha
Sir Alex Ferguson kimeweka rekodi ya kuwa kitabu kilichouza kwa haraka
zaidi ndani ya Uingereza kikiuza nakala 115,547 katika siku chache za
mauzo. (HM)
Kwa mujibu wa taarifa kutoka The Bookseller, kitabu hicho cha mocha wa zamani wa Manchester United kimevunja rekodi ya Delia Smith, ambaye kitabu chake cha mwaka 1999 cha mapishi kiliuza kopi 112,000 katika wiki take ya kwanza.
Pia kitabu cha Fergie kimevunja rekodi ya mauzo ya kitabu cha rafiki yake waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair, ambacho kiliuza kopi 92,000 katika wiki ya kwanza.
VITABU VILIVYOUZA ZAIDI UK:
Sir Alex Ferguson - My Autobiography - 115,547
Delia Smith - How to Cook - book two - 112,000
Tony Blair - A Journey - 92,000
David Beckham - My Side - 86,000
Paul Burrell - A Royal Duty - 77,000






Kwa mujibu wa taarifa kutoka The Bookseller, kitabu hicho cha mocha wa zamani wa Manchester United kimevunja rekodi ya Delia Smith, ambaye kitabu chake cha mwaka 1999 cha mapishi kiliuza kopi 112,000 katika wiki take ya kwanza.
Pia kitabu cha Fergie kimevunja rekodi ya mauzo ya kitabu cha rafiki yake waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair, ambacho kiliuza kopi 92,000 katika wiki ya kwanza.
VITABU VILIVYOUZA ZAIDI UK:
Sir Alex Ferguson - My Autobiography - 115,547
Delia Smith - How to Cook - book two - 112,000
Tony Blair - A Journey - 92,000
David Beckham - My Side - 86,000
Paul Burrell - A Royal Duty - 77,000
You may also Like

BALE: RONALDO ANASTAILI KUWA MCHEZAJI BORA WA DUNIA...

MBWANA SAMMATTA AINGIA KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MCHEZAJI BO...

SERIKALI YA KENYA YASEMA HAINA FEDHA ZA KUANDAA MICHUANO YA ...

CHEZEA MBEYA CITY: WAMETENGENEZA WIMBO WAO, SIKILIZA NA DOWN...

The World Do Not Appreciate Me Because I Am African - Yaya T...

PICHA: CRISTIANO RONALDO ATENGENEZA MAKUMBUSHO YAKE...
Followers
Tags 2
Popular Posts
-
Vijana wa Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) wamefani...
0 comments: