WEUSI WAFANYA REMIX YA GERE KENYA, WAWASHIRIKISHA COLLO NA RABIT, PIA KUFANYA COLLABO NA NAZIZI


Rappers wa kampuni ya Weusi Joh Makini, Nikki Wa Pili na G-Nako wako jijini Nairobi ambako waliperform katika uzinduzi wa video ya Navio kutoka Uganda Jumanne wiki hii. Wakiwa huko Weusi wamefanikiwa kufanya collabo na baadhi ya wasanii wakubwa wa kenya.
 Joh Makini ameiambia Bongo5 kuwa Kati ya Wasanii ambao wamefanikiwa kufanya nao collabo wakiwa Kenya ni pamoja na King wa Rap Collo na Rabit ambao wamehusika katika Remix ya single yao mpya ‘Gere’, na kuongeza kuwa wanatarajia kufanya Collabo nyingine na rapper wa Necessary Noise, Nazizi.
 “Collabo yetu na Nazizi ipo kwenye process nadhani leo ama kesho jana alikuwa amechoka..” Alisema Joh.

Kazi hizo zimefanyika katika studio ya Love Child ya Wyre pamoja na Waweshi.

0 comments:

Post a Comment

Recent Posts